Pichani Kushoto ni Athumani Kaala na Cosmas Timanywa moja wapo kati ya hawa anatakiwa aibuke mshindi kwenye kura zinazo endelea kupigwa kwenye ukumbi wa Waisuka ulioko Muleba mjini.
Huko joto limepamba moto kutoka kwenye kambi zote mbili taarifa ya uchunguzi juu ya mchakato mzima itakuja baada ya matokeo kutoka.
Tutaendelea kukujuza kinacho endelea.
MULEBA MiaMia!
Kizalendo zaidi.
No comments:
Post a Comment