Saturday 7 October 2017

MSIMU WA SOKA MULEBA

IMEDHIBITISHWA!

MULEBA STARS kukipiga na NDANDA FC tarehe 30/10/2017.
Wakazi wa Muleba na vitongoji vyake wakae mkao wa kula kuja kuzishuhudia timu zinazo cheza ligi kuu ya Tanzania bara kwenye uwanja wa Zimbihile.

Mtanange wa kwanza utapigwa tarehe 30/10/2017 Mwambie na mwenzio msimu wa soka umrudi tena kwa staili mpyaaa!

MSIMU WA SOKA 30/10/2017
MULEBA MiaMia!
Kizalendo Zaidi.

No comments:

Post a Comment