IMEDHIBITISHWA!
MULEBA STARS kukipiga na NDANDA FC tarehe 30/10/2017.
Wakazi wa Muleba na vitongoji vyake wakae mkao wa kula kuja kuzishuhudia timu zinazo cheza ligi kuu ya Tanzania bara kwenye uwanja wa Zimbihile.
Mtanange wa kwanza utapigwa tarehe 30/10/2017 Mwambie na mwenzio msimu wa soka umrudi tena kwa staili mpyaaa!
MSIMU WA SOKA 30/10/2017
MULEBA MiaMia!
Kizalendo Zaidi.
No comments:
Post a Comment