Friday 6 October 2017

WAFAHAMU WATU WALIO WAHI KUWA WENYEVITI WA CCM WILAYA MULEBA.

Jana wanachama wwa CCM wilaya ya Muleba walimchagua bwana Athumani Kahara kuwa Mwenyekiti Mpya wa chama hicho duru zinasema upinzani ulikua mkubwa mno ila demokrsia imetawala.

Kwa wanao mfahamu bwana Athumani kwa Uchapakazi na Uhodari wa kufanya kazi za jamii basi wanaungana na mimi kuwa ccm wamesajiri kifaa. wale walio kua shuke ya msingi Rubungo miaka ya 1990's watakubaliana na mimi yale machachari yake wakati anagombea kuwa kaka mkuu lakini pia alivyo kuwa akiwaongoza wanafunzi wenzake baada ya kushinda.

Hawa ni viongoi walio mtangulia Bwana Athumani Kahara kwenye nafasi hiyo 

1.Ernest Masilingi
2.Peter Kyabona
3.Simon Katarama
4.Muhaji Bushako.
Tukumbuke nini toka kwao? Muleba ni yetu sote!

MULEBA MiaMia!
Kizalendo Zaidi.

No comments:

Post a Comment