Thursday 5 October 2017

MH MWIJAGE AHUDHURIA MKUTANO WA CCM WILAYA MULEBA.

Mh Waziri Mwijage ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Muleba Kaskazini kupitia tiketi ya ccm naye yupo kwenye mkutano unaoendelea kwenye ukumbi wa Waisuka Wilayani Muleba.

MULEBA MiaMia!
Kizalendo Zaidi.

No comments:

Post a Comment