Saturday 3 November 2018

MULEBA ZAIDI YA UIJUAVYO!

Kwa taarifa yako tu Eneo linalo ongoza kupigiwa picha na watu wengi zaidi kuliko sehemu nyingine yeyote wilayani Muleba liko maeneo ya Kagoma. Kama inavyo onekana kwenye picha.

Watu wanaopigia picha eneo hili ni Wageni wanaoingia na kutoka wilayani Muleba, lakini pia zaidi ya asilimia 90 ya ndoa zinazofungwa wilayani Muleba Maharusi wake wamekua wakilitumia kupigia picha za ukumbusho.

Wale wazee wa fursa mnasubili nini kuboresha hili eneo?

No comments:

Post a Comment