Monday 5 November 2018

EKITUZI (UYOGA)

Huku kwetu Uyoga unaitwa EKITUZI na umepewa majina ya kiasili kulingana na umbo lake kwa mfano kuna aina ya "ENYAMKUNDI" "EMPEFU" n.k

Uyoga wa kwetu ujiotesha wenyewe maporini kwa msimu flani sio wakati wote nakama ilivyo ada kile kitendo cha kwenda porini kutafuta uyoga wakati wa msimu wake hiutwa "OKWENJA"

Kitaalamu hizi hapa ni faida za uyoga:

1: Uyoga unalishe kama protini inayolingana na ile ipatikanayo kwenye maziwa, samaki na kunde. Pia utapata vitamini B, C, na D, na madini ya joto, phosphoras, chuma na potashi.

2: Uyoga husadikika kutibu maradhi kama kifua kikuu, kisukari, moyo, shinikizo la damu na figo.

Tukutane December 25
#mulebamiamia
Kizalendo Zaidi

No comments:

Post a Comment