Ukiangalia majina ya uyoga mengi kama si yote yanatokana na umbile au mwonekano:
1: EKINYAMUJEGEJE (huwa ni 'laini sana,' jegulijeguli')
2: ENYAMUKUNDI (kwa sababu ya kipele ni kikubwa juu kabisa. 'omukundi' katikati.Q
3: EMPEEFU yaani 'iliyopauka' kutokana na mwonekano wa 'kijivu yenye kupauka'.
Nafikiri pia Ukisema 'Ekituzi'= Ekilikutura/ekilikututura=kitu kinachoenda au kutokea = nafikiri ilitokana na namna uyoga unavyoota,yaani nkitutura kuluga omwiitaka.. Kwahiyo 'Nkitutura'= ekilikututura =Ekituzi.
TUKUTANE DECEMBER 25!
#mulebamiamia
Kizalendo Zaidi.
No comments:
Post a Comment