Saturday 30 September 2017

NDIZI NYAMA CHAKULA PENDWA MULEBA.

Ndizi nyama ikiwa na maharagwe ndio chakula pendwa kwa wakazai wa Muleba na Mkoa wa Kagera kwa ujumla. Pichani inaonekana sinia yenye nyama lakini kwa pembeni kuna bakuri lenye nyanya chungu maarufu kama ntura.

No comments:

Post a Comment