Friday 29 September 2017

HAPPY BIRTHDAY GEOFREY .K. LEONARD a.k.a YEPA MAN.

Kwaniaba ya Team nzima ya MULEBA MiaMia tunakutakia maisha marefu na yenye baraka tele.

Siku moja tulikua kwenye kazi zetu za kuitangaza Muleba huko Karagwe tukiwa na ndugu yetu huyu ulitokea mkasa mmoja wa ajabu ambao yeye alihushudia kwa macho yake, kuna kijana mmoja aliyekua akiitwa Yepa alimpiga mwenzie kofi na akapoteza fahamu hapo hapo sasa wakati ndugu yetu anatusimulia sifa za yepa na mambo yake ndipi jina la YEPA MAN LIKAZALIWA.

HAPPY BIRTH DAY BROTHER!

No comments:

Post a Comment