Saturday 30 September 2017

NDIZI NYAMA CHAKULA PENDWA MULEBA.

Ndizi nyama ikiwa na maharagwe ndio chakula pendwa kwa wakazai wa Muleba na Mkoa wa Kagera kwa ujumla. Pichani inaonekana sinia yenye nyama lakini kwa pembeni kuna bakuri lenye nyanya chungu maarufu kama ntura.

Friday 29 September 2017

HAPPY BIRTHDAY GEOFREY .K. LEONARD a.k.a YEPA MAN.

Kwaniaba ya Team nzima ya MULEBA MiaMia tunakutakia maisha marefu na yenye baraka tele.

Siku moja tulikua kwenye kazi zetu za kuitangaza Muleba huko Karagwe tukiwa na ndugu yetu huyu ulitokea mkasa mmoja wa ajabu ambao yeye alihushudia kwa macho yake, kuna kijana mmoja aliyekua akiitwa Yepa alimpiga mwenzie kofi na akapoteza fahamu hapo hapo sasa wakati ndugu yetu anatusimulia sifa za yepa na mambo yake ndipi jina la YEPA MAN LIKAZALIWA.

HAPPY BIRTH DAY BROTHER!

Thursday 28 September 2017

MULEBA MiaMia blog itakua inakupa matukio na taarifa mbalimbali zinazohusiana na wilaya ya muleba.